2 Chronicles 20:1-2

1 aIkawa baada ya jambo hili, Wamoabu na Waamoni, pamoja na baadhi ya Wameuni wakaja ili wapigane vita na Yehoshafati.

2 bWatu fulani wakaja wakamwambia Yehoshafati, “Jeshi kubwa linakuja dhidi yako kutoka Edomu tokea ngʼambo ile nyingine ya Bahari.
Yaani Bahari ya Chumvi.
Tayari liko Hasason-Tamari” (yaani En-Gedi).
Copyright information for SwhNEN